Flickr

Breaking News
recent

SHILOLE AMWAGA LAZI ULAYA



Erick Evarist
STAA wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameacha aibu ya aina yake barani Ulaya baada ya gauni lake kuvuka na kuacha ‘nido’ zake hadharani, Risasi Mchanganyiko lina stori kamili.

Staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ akiimba kwa hisia.


Tukio hilo lililozua gumzo katika mitandao mbalimbali ya kijamii, lilijiri usiku wa kuamkia Jumatatu iliyopita katika Jiji la Antwepen, Ubeligiji wakati Shilole aliyeambatana na mpenzi wake Nuh Mziwanda walipokuwa wamekwenda kutumbuiza katika ukumbi unaofahamika kwa jina la Togenblink.
Unknown

Unknown

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.