Flickr

Breaking News
recent

PANYA LODI ,HAWANA HURUMA WAMFANYIA KITU MBAYA MSANII HUYU


Gladness Mallya
MWANADADA anayefanya vizuri kunako gemu la filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuvamiwa na vibaka ambao walivunja  gari lake na kuchukua vifaa mbalimbali na fedha dola elfu moja za Marekani sawa na shilingi 1,900,000 za Kitanzania.......BOFYA HAPA
Unknown

Unknown

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.